Watendaji wakuu serikali watakiwa kutimiza wajibu
Watendaji wakuu serikalini wametakiwa kutekeleza wajibu wao kulingana na dira ya taifa inavyoelekeza ili lengo la nchi kuwa na uchumi wa kati wa viwanda liweze kutimia ikiwa pamoja na kuhakikisha kuwa uslama wa nchi unaendelea kulindwa.

