CCM kuziba nafasi za viongozi waliotimkia UKAWA

Nape Nnauye, Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM

Kamati kuu ya chama cha Mapinduzi CCM imefanya uteuzi mpya wa nafasi za uenyekiti zilizoachwa wazi kati ngazi ya mikoa na wilaya ambapo viongozi hao walijiunga na Vyama vya Upinzania pamoja na wengine kufariki dunia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS