Mama Janeth azitaka taasisi kuwasaidia wazee

Mke wa Rais Mama Janeth Magufuli akihutubia wakaazi wa Kituo cha Makazi ya Wazee na Watu Walemavu cha Nunge, Kigamboni, jijini Dar es salaam alikotembelea

Mke wa Rais wa Tanzania, Mama Janeth Magufuli ameziomba taasisi za serikali na binafsi kushirikiana katika kutatua changamoto zinazovikabili vituo na makazi ya wazee na walemavu wasiojiweza nchini Tanzania.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS