CCM kuziba nafasi za viongozi waliotimkia UKAWA
Kamati kuu ya chama cha Mapinduzi CCM imefanya uteuzi mpya wa nafasi za uenyekiti zilizoachwa wazi kati ngazi ya mikoa na wilaya ambapo viongozi hao walijiunga na Vyama vya Upinzania pamoja na wengine kufariki dunia.
