Ne-Yo afunga ndoa

NE-YO NA CRYSTAL RENAY

Staa wa muziki wa R&B Ne-Yo amefunga ndoa na mchumba wake mwanamitindo Crystal Renay katika tukio lililofanyika kwenye mgahawa wa Terranea ulioko Rancho Palos Verdes, California Jumamosi ya Feb 20 2016.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS