Prince Ali ataka uchaguzi wa FIFA uahirishwe

Mgombea wa urais wa Fifa mwana mfalme Ali bin al-Husein

Mawakili wanaomuwakilisha mgombea wa urais wa Fifa mwana mfalme Ali bin al-Husein wamesema wamewasilisha ombi lao rasmi la kutaka uchaguzi unaotarajiwa kufanyika Ijumaa kuhairishwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS