Ngumi Taifa sasa kuisaka Olimpiki Venezuela Julai.

Baadhi ya mabondia wa timu ya taifa wakiwa katika mazoezi.

Shirikisho la ngumi za ridhaa nchini Tanzania BFT sasa limethibitisha rasmi kuwa kati ya michuano miwili iliyosalia ya kufuzu kwa Olimpiki watashiriki mchuano mmoja pekee ambao utafanyika nchini Venezuela mwanzoni mwa mwezi wa saba mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS