Ngumi Taifa sasa kuisaka Olimpiki Venezuela Julai.
Shirikisho la ngumi za ridhaa nchini Tanzania BFT sasa limethibitisha rasmi kuwa kati ya michuano miwili iliyosalia ya kufuzu kwa Olimpiki watashiriki mchuano mmoja pekee ambao utafanyika nchini Venezuela mwanzoni mwa mwezi wa saba mwaka huu.