Kikapu Taifa sasa Septemba Mmarekani kushuhudia.

Mmoja wa wachezaji wa mpira wa kikapu akionyesha staili ya mtindo wa miruko[ dank]

Kuingiliana kwa ratiba ya michuano ya kimataifa ya Majeshi kwa nchi za Afrika Mashariki na Kati na pia ratiba ya ujio wa kocha mpya wa timu ya Taifa ya kikapu kumepelekea kuahirishwa kwa michuano ya mpira wa kikapu taifa iliyokuwa ifanyike Julai.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS