Kaimu Kamanda wa polisi mkoa wa Njombe, John Temu.
Mtu anaye daiwa kuwa ni jambazi ameuwawa katika majibizano ya risasi na jeshi la Polisi katika mji wa Makambako mkoani Njombe ambako majambazi hao walitaka kufanya tukio la uvamizi katika kituo cha mafuta.