Hatuwaogopi Wamisri, kesho tutawafunga - Samatta

Nahodha wa Timu ya Taifa Taifa Stars Mbwana Ally Samatta

Nahodha wa timu ya taifa Taifa Stars Mbwana Samatta amesema licha ya mechi ngumu inayowakabili hapo kesho dhidi ya Misri, lakini hawawezi kuingia Uwanjani kwa kuwaogopa kwa sababu ni timu kubwa bali wataingia kwa ajili ya kutafuta ushindi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS