Serikali yakanusha taarifa za jarida la Uingereza

Mkurugenzi wa Habari kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Zamaradi Kawawa (kushoto) akiwa na Meneja Mawasiliano wa Kituo cha Uwekezaji - TIC Bw. Daudi Riganda.

Serikali imesema kumekuwa na ongezeko la miradi ya uwekezaji katika kipindi cha miezi sita ya kwanza ya utawala wa rais Dkt. John Pombe Magufuli, tofauti na ilivyoripotiwa na jarida la The Economist la nchini Uingereza kwamba uwekezaji umepungua.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS