Cheka mdogo kuwania UBO kesho dhidi ya Mmalawi.

Cosmas Cheka akivishwa mkanda wa WBF alioutwa hivi karibuni.

Bondia Mtanzania Cosmas Cheka kesho anapanda ulingoni Uwanja wa Ndani wa Taifa, Dar es Salaam kupambana na bondia kutoka nchini Malawi, Chrispin Moliyati katika pambano la kuwania ubingwa wa Universal Boxing Union (UBO) wa uzito wa Super Feather.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS