Mtendaji Mkuu wa Chombo cha Utendaji cha Umoja wa Afrika NEPAD, Dkt. Ibrahim Mayaki.
Mtendaji Mkuu wa Chombo cha Utendaji cha Umoja wa Afrika NEPAD, Dkt. Ibrahim Mayaki amesema Afrika inahitaji juhudi za pamoja kukuza sekta ya viwanda itakayosaidia kukuza uchumi wa bara la Afrika.