AWATA kusambaza walimu wa mieleka mashuleni Baada ya kukosa bajeti ya kushiriki mashindano ya Olimpiki huko Rio, chama cha mieleka Tanzania AWATA kina mpango wa kuandaa vijana wadogo wa mashuleni ili kupata wachezaji wazuri wa baadae. Read more about AWATA kusambaza walimu wa mieleka mashuleni