Kituo cha uokoaji ziwa Victoria kujengwa Mwanza

Meli ya MV Bukoba iliyozama Ziwa Victoria mwaka 1996 na kusababisha vifo vya watu zaidi ya 800

Kamisheni ya Bonde la Ziwa Victoria Nchini Inatarajiwa Kutumia Zaidi ya Shillingi Billioni Hamsini Kwa ajili ya Ujenzi wa Kituo Cha Kutafuta na Kuokoa Watu Wanaopata Ajali Katika Ziwa Hilo Jijini Mwanza.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS