Kituo cha uokoaji ziwa Victoria kujengwa Mwanza
Kamisheni ya Bonde la Ziwa Victoria Nchini Inatarajiwa Kutumia Zaidi ya Shillingi Billioni Hamsini Kwa ajili ya Ujenzi wa Kituo Cha Kutafuta na Kuokoa Watu Wanaopata Ajali Katika Ziwa Hilo Jijini Mwanza.