Kikwete amkabidhi Magufuli 'majipu' ndani ya CCM
Mwenyekiti mstaafu wa CCM Dkt Jakaya Kikwete, amekabidhi nafasi cha uenyekiti wa chama hicho kwa Dkt John Pombe Magufuli, huku akimtaka kushughulikia baadhi ya mapungufu yanayokitia hasara chama ikiwemo kuokoa mali za chama.

