Kikwete amkabidhi Magufuli 'majipu' ndani ya CCM

Dkt Jakaya Kikwete (Kushoto) akiteta jambo na Dkt Magufuli (Katikati) na Katibu Mkuu Abdulrahman Kinana (kulia)

Mwenyekiti mstaafu wa CCM Dkt Jakaya Kikwete, amekabidhi nafasi cha uenyekiti wa chama hicho kwa Dkt John Pombe Magufuli, huku akimtaka kushughulikia baadhi ya mapungufu yanayokitia hasara chama ikiwemo kuokoa mali za chama.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS