Serikali yaanda mpango wa kurasimisha Ardhi

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dkt. Moses Kusiluka,

Serikali ya Tanzania imesema kuwa imeandaa mpango maalum wa upimaji wa ardhi na urasimishaji wa maeneo yote yasiyopimwa katika jiji la Dar es Salaam ambapo viwanja zaidi ya laki tatu vitapimwa na wamiliki kupewa hati.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS