NEMC yawashukia wawekezaji Kanda ya Ziwa.

Mkurugenzi wa NEMC, Bonaventure Baya,

Baraza la taifa la usimamizi na uhifadhi wa Mazingira nchini Tanzania NEMC, limesema ni asilimia mbili tu ya miradi mbalimbali ya uzalishaji na maendeleo katika Kanda inayofuata sheria ya mazingira katika kiwango cha kuridhisha.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS