Wafanyabiashara zingatieni Usafi-Ilala,DSM

Wafanyabiashara wa mboga mboga katika Soko la Ilala Boma, wakiuza mbogamboga katika eneo ambalo Si salama kwa afya ya mlaji

Halmashauri ya Manispaa ya Ilala Jijini Dar es Salaaam imewataka wafanyabiashara kuzingatia muda uliopangwa na Serikali kwa ajili ya usafi wa mazingira katika maeneo yao ya kazi unaofanywa kila ifikapo siku ya jumamosi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS