Serikali ya mkoa wa DSM yapiga marufuku UKUTA

Askari wa kikosi cha kutuliza ghasia Jijini Dar es salaam

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda ameliagiza jeshi la polisi mkoa wa Dar es salaam kuhakikisha kwamba sheria zinafuatwa na kusiwepo kitu kinaitwa UKUTA ili wananchi waendelee na kazi zao kama kawaida.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS