BASATA yahamasisha wasanii kushiriki EATV AWARDS Mkuu wa matukio BASATA Kurwijira N. Maregesi Baraza la sanaa Tanzania (BASATA) kupitia mkuu wake wa matukio Kurwijira N. Maregesi , wametoa msisitizo kwa wasanii kujisaji kwenye baraza hilo, ili waweze kushiriki EATV AWARDS. Read more about BASATA yahamasisha wasanii kushiriki EATV AWARDS