TCAA yapewa siku mbili kujieleza kuhusu Zanzibar

Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Luhaga Mpina.

Naibu Waziri Muungano na Mazingira Luhaga Mpina ametoa siku mbili kwa uongozi mkuu wa mamlaka ya anga nchini, TCAA, kutoa taarifa kamili za uendeshaji wa shughuli za anga katika visiwa vya Unguja na Pemba pamoja na makusanyo yanayoingia serikalini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS