Majaliwa kuhamia rasmi Dodoma hii leo

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa atahamia rasmi mjini Dodoma hii leo ikiwa ni utekelezaji wa ahadi yake aliyoitoa sikukuu ya mashujaa Julai 25 Mwaka huu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS