Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kikanda na Kimataifa, Balozi Dkt. Augustine Mahiga.
Serikali imesema kuwa katika mkutano 71 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa umeonesha Tanzania inatekeleza mpango mpya wa maendeleo endelevu kwa kuzitafuta rasilimali ndani ya nchi na kuzifanyia kazi.