Serikali kurekebisha sera kuondoa makazi holela

Waziri wa Ardhi, Mheshimiwa William Lukuvi. (Kushoto)

Serikali inafanya mapitio ya sera mbalimbali zinazohusiana na masuala ya nyumba nchini, yenye lengo la kuweka mfumo wezeshi ambao utarahisisha uendelezaji wa sekta ya nyumba na kuisaidia kuweza kuendelea kufanya vizuri.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS