Majaliwa aongoza waombolezaji kuaga mwili wa Pinda
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akitoa heshima za mwisho kwa marehemu Xavery Pinda
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameongoza mamia ya waombolezaji kuaga mwili wa marehemu Mzee Xavery Pinda ambaye ni baba mzazi wa Waziri Mkuu Mstaafu Mheshimiwa Mizengo Pinda.