Majambazi wavamia mgahawa, wapora na kujeruhi

Ahmed Msangi, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza

Watu wanaodaiwa kuwa majambazi wamevamia mgahawa wa Dinners jijini Mwanza uliopo katika mtaa wa Kenyatta Road na  kupora kiasi cha fedha kisichojulikana na kujeruhi watu wawili kwa risasi kabla ya kutoweka.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS