Mourinho ahusishwa na ukwepaji kodi Jose Mourinho Mbunge mmoja nchini Uingereza amesema kuwa mkufunzi wa Manchester United Jose Mourinho anafaa kuchunguzwa na maafisa wa Uingereza kufuatia madai kwamba alitumia kampuni za kigeni kupunguza kodi anayolipa. Read more about Mourinho ahusishwa na ukwepaji kodi