Watakaoshindwa kudhibiti machinga, kufukuzwa kazi
Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana mkoa wa Mwanza ametangaza kuwafuta kazi maafisa tarafa, watendaji wa kata na mitaa watakao legalega kuwadhibiti wafanya biashara ndogondogo machinga baada ya oparesheni inayoendelea.
