Wazimbabwe watakaovaana na Taifa Stars hawa hapa Shirikisho la Soka nchini Zimbabwe Wachezaji wa timu ya taifa ya Zimbabwe watakaochuana na Tanzania (Taifa Stars) katika mchezo wa kimataifa wa kirafiki utakaopigwa Novemba 13 mwaka huu nchini humo, yamewekwa hadharani. Read more about Wazimbabwe watakaovaana na Taifa Stars hawa hapa