Yanga yamtema rasmi Mbuyu Twite

Mbuyu Twite akiitumikia klabu yake ya Yanga

Mchezaji kiraka wa mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara Dar Young Africans, Mbuyu Twite ametemwa rasmi katika klabu hiyo baada ya mkataba wake kumalizika.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS