Kombe la Shirikisho kuzinduliwa Tanga Novemba 19 Rais wa TFF Jamal Malinzi akimkabidhi Kombe Nahodha wa Yanga Nadir Haroub mara baada ya kutwaa ubingwa wa kombe la Shirikisho la TFF msimu uliopita Michuano ya Kombe la Shirikisho itakayoshirikisha timu 86 msimu huu, itaanza rasmi Novemba 19, 2016 kwa uzinduzi rasmi utakaofanyika mkoani Tanga Read more about Kombe la Shirikisho kuzinduliwa Tanga Novemba 19