Taifa limepoteza mzalendo wa kweli - Rais Magufuli

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo na Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samuel Sitta enzi za Uhai wake alipokwenda kumjulia hali nyumbani kwake Mbezi Dar es Salaam

Rais wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli amemtumia salamu za rambirambi Spika wa Bunge la Tanzania Mhe. Job Ndugai kufuatika kifo cha Spika Mstaafu na Mbunge mstaafu wa jimbo la Urambo Mkoani Tabora Mhe. Samweli Sitta.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS