Simba ya sasa haishauriki - Kaduguda Mhina Kaduguda - Mdau wa Soka Mdau wa Soka nchini na aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Klabu ya Simba Mhina Kaduguda, ameibuka na kuuponda uongozi wa sasa klabu hiyo na kusema kuwa hautaki kushauriwa pale ambapo unakosea. Read more about Simba ya sasa haishauriki - Kaduguda