Makusanyo TRA yafikia trilioni 4 kwa mwaka 2016/17
Mamlaka ya Mapato Tanzania-TRA katika kipindi cha mwezi oktoba 2016 imekusanya zaidi ya shilingi trilioni 1.15 na kufanya makusanyo yote kwa mwaka wa fedha 2016/2017 kufikia zaidi ya shilingi trilioni 4 toka mwaka wa fedha kuanza hadi sasa.