Makusanyo TRA yafikia trilioni 4 kwa mwaka 2016/17

Mkurugenzi Huduma na Elimu kwa Mlipa Kodi Richard Kayombo

Mamlaka ya Mapato Tanzania-TRA katika kipindi cha mwezi oktoba 2016 imekusanya zaidi ya shilingi trilioni 1.15  na kufanya makusanyo yote kwa mwaka wa fedha 2016/2017 kufikia zaidi ya shilingi trilioni 4 toka mwaka wa fedha kuanza  hadi sasa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS