Wakuu wa wanahabari wahukumiwa kifungo Misri Yahia Kallash, kiongozi wa chama cha waandishi wa habari nchini Misri Kiongozi wa chama cha waandishi wa habari nchini Misri, na wakuu wengine wawili, wamehukumiwa kifungo cha miaka miwili, kwa kuwapa hifadhi wenzao waliokuwa wakisakwa na polisi. Read more about Wakuu wa wanahabari wahukumiwa kifungo Misri