TZ yashika nafasi ya 4 Afrika kwa vifo vya uzazi
Takwimu zinaonesha kuwa Tanzania ni nchi ya 4 barani Afrika kwa kuwa na vifo vya mama na mtoto huku ikiwa ya 6 duniani kwa vifo hivyo hivyo, suala ambalo wadau wa afya wanaishinikiza serikali kuwekeza katika huduma za dharura wakati wa kujifungua