Bao la Ajibu lilikuwa halali - Msuva

Ibrahim Ajibu - Mshambuliaji wa Simba

Bao alilofunga mshambuliaji wa Simba Ibrahim Ajibu katika mechi dhidi ya Yanga Oktoba 01, mwaka huu limeendelea kuzusha mjadala ambapo winga machachari wa Yanga Simon Msuva amesema lilikuwa ni bao halali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS