Bao la Ajibu lilikuwa halali - Msuva Ibrahim Ajibu - Mshambuliaji wa Simba Bao alilofunga mshambuliaji wa Simba Ibrahim Ajibu katika mechi dhidi ya Yanga Oktoba 01, mwaka huu limeendelea kuzusha mjadala ambapo winga machachari wa Yanga Simon Msuva amesema lilikuwa ni bao halali. Read more about Bao la Ajibu lilikuwa halali - Msuva