Askari 6 wa usalama barabarani wafutwa kazi
Mkuu wa Operesheni, Kikosi cha Usalama Barabarani nchini Tanzania, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa Jeshi la Polisi, Fortunatus Musilimu, amewaondoa ndani ya kikosi hicho askari sita kwa kukiuka maadili ya jeshi la polisi katika utendaji kazi