JPM ateua Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, amemteua Dkt. Khatib M. Kazungu kuwa Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango. Read more about JPM ateua Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha