Lwandamina akanusha kuja na wachezaji wake Yanga

Makamu Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga akimkabidhi jezi kocha wa Yanga George Lwandamina

Klabu ya Yanga hii leo imemtambulisha kocha Geroge Lwandamina kuwa kocha mpya wa klabu hiyo akirithi nafasi ya kocha wa zamani wa klabu hiyo Hans van der Pluijm ambaye amepewa majukumu mapya ya kuwa Mkurugenzi wa Ufundi ndani ya klabu hiyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS