Lwandamina akanusha kuja na wachezaji wake Yanga
Klabu ya Yanga hii leo imemtambulisha kocha Geroge Lwandamina kuwa kocha mpya wa klabu hiyo akirithi nafasi ya kocha wa zamani wa klabu hiyo Hans van der Pluijm ambaye amepewa majukumu mapya ya kuwa Mkurugenzi wa Ufundi ndani ya klabu hiyo.