Waziri Nape 'aipa tano' EATV AWARDS Waziri Nape Nnauye Waziri wa Habari Sanaa na Michezo, Mh, Nape Moses Nnauye, amesema ana imani na tuzo za EATV, kuwa zitaleta hamasa na changamoto kubwa kwenye tasnia ya sanaa. Read more about Waziri Nape 'aipa tano' EATV AWARDS