Wizara zote zatakiwa Dodoma kabla ya Feb. 28

Waziri Jenista Mhagama wakati wa kufungua mkutano mkuu wa mwaka wa wanachama wote wa Saccos ya Makamu Savings and Credit iliyopo chini ya ofisi ya Wziri Mkuu, leo Mjini Dodoma

Serikali imezipa msisitizo wizara mbalimbali kuhakikisha zinahamishia makazi yake Makao Makuu ya nchi mkoani Dodoma kabla ya Februari 28, mwaka huu, kama iliyotangazwa na Rais John Magufuli mwaka jana.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS