Waziri Tizeba amjibu Zitto kuhusu chakula
Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Dk Charles Tizeba amefunguka na kumjibu mbunge wa Kigoma Mjini Mhe. Zitto Kabwe kuhusu hali ya chakula nchini na kusema kuwa alikurupuka kwani kile alichokisema hakina ukweli wowote