Uganda yakumbwa na mafua ya ndege Waziri wa Kilimo, Viwanda na Uvuvi nchini Uganda, Christopher Kibazanga. Serikali ya Uganda imetangaza mlipuko wa mafua ya ndege aina ya H7N9, ambapo mizoga kadhaa ya ndege imekutwa katika wilaya za katikati mwa nchi hiyo ya Afrika Mashariki. Read more about Uganda yakumbwa na mafua ya ndege