Yanga yazidi kuijaza Simba 'presha' VPL
Mabingwa watetezi wa ligi kuu Tanzania Bara, Yanga imezidi kuwafanya wapenzi wa Simba kuishi kwa wasiwasi baada ya leo kuchukua point 3 kwa Majimaji ya Songea, na kufikisha point 43, ikiwa ni point moja tu nyuma vinara wa ligi, Simba SC.