Yanga yazidi kuijaza Simba 'presha' VPL

Yanga na Majimaji (Maktaba)

Mabingwa watetezi wa ligi kuu Tanzania Bara, Yanga imezidi kuwafanya wapenzi wa Simba kuishi kwa wasiwasi baada ya leo kuchukua point 3 kwa Majimaji ya Songea, na kufikisha point 43, ikiwa ni point moja tu nyuma vinara wa ligi, Simba SC.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS