Ndoa isiyo na afya haifai - Jaydee Msanii Lady Jaydee akiwa na mpenzi wake Spicy Msanii wa muziki wa bongo fleva Lady Jaydee amefunguka na kusema wanawake wengi wanaogopa kuanza maisha mapya ya mahusiano kwani wengi wao wanashindwa kuondoka kwenye ndoa zao ambazo hazina afya. Read more about Ndoa isiyo na afya haifai - Jaydee