Waliofukiwa na kifusi mgodini Geita, waokolewa Wakipatiwa huduma ya kwanza mara baada ya kuokolewa Wachimbaji 15 wa madini waliofukiwa na kifusi siku tatu zilizopita kwenye mgodi unaomilikiwa na kampuni ya RZ huko Nyarugusu, mkoani Geita, hatimaye wameokolewa wakiwa hai. Read more about Waliofukiwa na kifusi mgodini Geita, waokolewa