JPM aanza kuhudhuria Mkutano wa 28 wa AU

Rais Magufuli (wa pili kushoto) akiwa amejumuika na marais wengine wa nchi za Afrika, katika mkutano wa AU nchini Ethiopia

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 29 Januari, 2017 ameanza kuhudhuria mkutano wa 28 wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika (AU) unaoendelea Mjini Addis Ababa nchini Ethiopia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS