Chirwa aifikisha Yanga kileleni

Wachezaji wa Yanga, Chirwa na Msuva wakishangilia bao

Mshambuliaji ghali zaidi wa klabu ya Yanga raia wa Zimbabwe, Obrey Chirwa leo ameifungia timu yake mabao mawili muhimu na kuipa kuipa ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Mwadui FC katika mchezo uliopigwa dimba la Taifa Dar es Salaam

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS