Magufuli aandika historia mpya Addis Ababa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiwa na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta pamoja na viongozi wa mataifa mabalimbali wakiwa katika picha ya pamoja katika jengo jipya la kituo cha Amani na Usalama (JULIUS NYERERE) lililopo katika Makao makuu ya Umoja wa Afrika Addis Ababa nchini Ethiopia.

Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli, leo ameweka historia mpya katika makao makuu wa Umoja wa Mataifa ya Afrika (AU) kwa kuongoza ufunguzi rasmi wa jengo la kituo cha amani lililopewa jina la Mwalimu Julius Nyerere na kuhutubia kwa lugha ya Kiswahili

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS