Msanii Jebby akiwa kwenye studio za East Africa Radio, miaka kadhaa iliyopita.
Msanii Jebby ambaye amewahi kutamba na ngoma kama 'Swahiba' akiwa ameshirikiana na mkongwe Afande Sele, amefunguka na kusema kwa sasa yupo tayari kurudi kwenye muziki baada ya muda mrefu kukaa pembeni.