Wapinzani wamsusia Bunge Naibu Spika

Zitto Kabwe akiwa na wabunge wa upinzani mara baada ya wabunge hao kutoka nje ya Bunge

Wabunge wote wa vyama vya upinzani waliokuwa bungeni katika kikao kinachoendelea jioni hii wametoka nje ya Bunge, wakipinga wenzao kufukuzwa bungeni pamoja na kitendo cha Mbunge Tundu Lissu kukamatwa.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS